Maji Week 2025

Siku ya Maji 2025

Wizara ya Maji imekuwa ikiratibu Wiki ya maji kitaifa kila mwaka hapa nchini kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa sekta ya maji. Maadhimisho haya yanatokana na Azimio Na. 47/193 la Umoja wa Mataifa (UN) kuwa kila ifikapo Machi, 22 ya kila mwaka nchi wanachama ziadhimishe Siku ya Maji Duniani kwa pamoja.

Hii ni Katika kutambua umuhimu na thamani ya maji katika maisha ya binadamu na uchumi wa Dunia kwa ujumla

Lengo kuu la maadhimisho ya Wiki ya Maji nchini ni kuungana na Mataifa mengine katika kutathimni utekelezaji, mafanikio, changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wa miradi ya maji na kuainisha mikakati ya kuboresha na kuimarisha utoaji wa huduma ya majisafi na usafi wa mazingira na kusimamia utunzaji wa rasilimali ya maji nchini.


Hafla ya Uwekaji Jiwe la Msingi Bwawa la Kidunda

Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe Wazinduliwa

Maji Kuwafikia Wananchi kwa Asilimia 100

Mkutano wa Mapitio ya Programu ya Sekta ya Maji

Siku ya EWURA 2025: Tuzo kwa Mamlaka za Maji

Muhtasari wa Utendaji wa Mamlaka za Maji 2023/24

Water Utilities Performance Review 2023/24

Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa 2024

International Maji Scientific Conference 2024 : Call for Abstracts and Workshop Proposals

Kuelekea Siku ya Maji Duniani 2023

Siku ya Maji Duniani Kitaifa

Taarifa kwa Umma

Uzinduzi wa Wiki ya Maji 2022

Wiki ya Maji: 2020

Taarifa kwa Umma: Kusitisha Shughuli Kueleka Siku ya Maji Duniani

Taarifa kwa vyombo vya Habari: Wiki ya Maji

Wiki ya Maji 2020: Mwisho wa kujisajili ni tarehe 20 Februari, 2020; Bofya kiunganishi kujisajili

Second call for Abstracts/Call for Sessions: 2020 Maji (Water) Week Annual Scientific Conference

Maji Week Exhibition: Dar es salaam, click this link for details