Maji Week 2025
Siku ya Maji 2025
Wizara ya Maji imekuwa ikiratibu Wiki ya maji kitaifa kila mwaka hapa nchini kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa sekta ya maji. Maadhimisho haya yanatokana na Azimio Na. 47/193 la Umoja wa Mataifa (UN) kuwa kila ifikapo Machi, 22 ya kila mwaka nchi wanachama ziadhimishe Siku ya Maji Duniani kwa pamoja.
Hii ni Katika kutambua umuhimu na thamani ya maji katika maisha ya binadamu na uchumi wa Dunia kwa ujumla
Lengo kuu la maadhimisho ya Wiki ya Maji nchini ni kuungana na Mataifa mengine katika kutathimni utekelezaji, mafanikio, changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wa miradi ya maji na kuainisha mikakati ya kuboresha na kuimarisha utoaji wa huduma ya majisafi na usafi wa mazingira na kusimamia utunzaji wa rasilimali ya maji nchini.
Hafla ya Uwekaji Jiwe la Msingi Bwawa la Kidunda
Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe Wazinduliwa
Maji Kuwafikia Wananchi kwa Asilimia 100
Mkutano wa Mapitio ya Programu ya Sekta ya Maji
Siku ya EWURA 2025: Tuzo kwa Mamlaka za Maji
Muhtasari wa Utendaji wa Mamlaka za Maji 2023/24
Water Utilities Performance Review 2023/24
Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa 2024
International Maji Scientific Conference 2024 : Call for Abstracts and Workshop Proposals
Kuelekea Siku ya Maji Duniani 2023
Wiki ya Maji: 2020
Taarifa kwa Umma: Kusitisha Shughuli Kueleka Siku ya Maji Duniani
Taarifa kwa vyombo vya Habari: Wiki ya Maji
Wiki ya Maji 2020: Mwisho wa kujisajili ni tarehe 20 Februari, 2020; Bofya kiunganishi kujisajili
Second call for Abstracts/Call for Sessions: 2020 Maji (Water) Week Annual Scientific Conference
Maji Week Exhibition: Dar es salaam, click this link for details