Habari

Tudhibiti Upotevu wa Maji, Wananchi Wapate Maji - Dkt. Biteko
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko (Mb) ameelekeza juhudi iongezwe katika kudhibiti upotevu wa maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 19, 2025

Huduma ya Maji ni Muhimu kwa Jamii - Serikali
Serikali inatambua umuhimu mkubwa wa huduma ya maji katika kukuza uchumi na maendeleo ya jamii ya Watanzania.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 17, 2025

Maji Kuwafikia Wananchi kwa Asilimia 100
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Mb) amesema wakati akiweka jiwe la msingi la mradi wa upanuzi wa mtandao wa majisafi ya ziwa Victoria kutoka eneo la Makomero - Mgongoro, kijiji cha Mwamayoka, Igunga mkoani Tabora.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 12, 2025

Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe Wazinduliwa na Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe utakaowahakikishia wananchi wa miji ya Same, Mwanga na vijiji 38 vya wilaya za Same, Mwanga na Korogwe huduma ya uhakika ya majisafi na salama.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 09, 2025


Rais Samia Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji wa Bilioni 35.47 Mkinga
Wananchi wa Wilaya ya Mkinga wanatarajia kupata ahueni kubwa baada ya Serikali kupitia Wizara ya Maji kuanza utekelezaji wa Mradi wa Maji Mkinga – Horohoro... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 27, 2025