Habari

Tudhibiti Upotevu wa Maji, Wananchi Wapate Maji - Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko (Mb) ameelekeza juhudi iongezwe katika kudhibiti upotevu wa maji.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 19, 2025

Huduma ya Maji ni Muhimu kwa Jamii - Serikali

​Serikali inatambua umuhimu mkubwa wa huduma ya maji katika kukuza uchumi na maendeleo ya jamii ya Watanzania.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 17, 2025

Maji Kuwafikia Wananchi kwa Asilimia 100

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Mb) amesema wakati akiweka jiwe la msingi la mradi wa upanuzi wa mtandao wa majisafi ya ziwa Victoria kutoka eneo la Makomero - Mgongoro, kijiji cha Mwamayoka, Igunga mkoani Tabora.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 12, 2025

Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe Wazinduliwa na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe utakaowahakikishia wananchi wa miji ya Same, Mwanga na vijiji 38 vya wilaya za Same, Mwanga na Korogwe huduma ya uhakika ya majisafi na salama.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 09, 2025

Wakazi wa Dar, Pwani na Morogoro kupata maji ya uhakika

k... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 05, 2025

Rais Samia Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji wa Bilioni 35.47 Mkinga

Wananchi wa Wilaya ya Mkinga wanatarajia kupata ahueni kubwa baada ya Serikali kupitia Wizara ya Maji kuanza utekelezaji wa Mradi wa Maji Mkinga – Horohoro... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 27, 2025