Habari

Waziri Aweso Apokea Mabomba ya Bil. 7, Ataka Mradi wa Maji Mkinga–Horohoro Ukamilike Haraka

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesisitiza kuwa kazi ya ujenzi wa Mradi wa Maji wa Mkinga–Horohoro unaotekelezwa katika Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga, ni lazima ikamilike haraka iwezekanavyo na kuzingatia viwango.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 17, 2026

Tanzania na Korea Yafanya Mazungumzo Kutekeleza Mradi wa Maji wa Rufiji

Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefanya mazungumzo kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Rufiji kama mpango wa muda mrefu wa kuboresha huduma ya majisafi na salama kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 14, 2026

Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kuimarisha Huduma ya Majitaka Dar es Salaam

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesema ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Korea utaimarisha huduma ya majitaka kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 14, 2026

Watendaji Sekta ya Maji Mwanza Wapongezwa

Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Kundo mathew amehitimisha ziara yake mkoani Mwanza na kuwapongeza watendaji wa sekta ya maji mkoani hapo kwa usimamizi mzuri wa miradi inayoendelea.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 12, 2026

​Kampuni Ujenzi wa Mradi wa Majitaka Chato Kuchunguzwa

Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb) ameelekeza Wizara ya Maji kuchunguza kampuni ya Peritus Exim PVT inayojenga bwawa la majitaka Chato.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 12, 2026

Wakazi Zaidi ya 64,000 Manyoni Kunufaika na Mradi wa Maji

Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Maji, Wizara ya Mambo ya Nje, wakandarasi pamoja na Afisa Balozi wa India nchini Tanzania, Rajnish Kumar, na Mwakilishi wa Serikali ya India kutoka Benki ya Exim, Bw. Ravi V. P. Singh imetembelea Mradi wa Maji wa Miji 28.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 08, 2026