Maoni juu ya tovuti

84.92%
4.87%
10.21%
39.35%
23.30%
37.36%
38.57%
26.01%
35.43%
Generic placeholder image
Ushirikiano wa Tanzania na Qatar Kuimarisha Huduma ya Majitaka Nchini

Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Dodoma (DUWASA), Mtwara (MTUWASA) na Ubalozi wa Tanzania Nchini Qatar zimeahidiwa ushirikiano katika eneo la Usafi wa Mazingira hususa...... Soma zaidi

Imewekwa: 25th Apr 2025
Generic placeholder image
Watumishi Wizara ya Maji Watakiwa Kuongeza Zaidi Bidii Katika Kazi

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka watumishi wa Wizara ya Maji kuongeza zaidi bidii katika kazi na kutumia weledi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za utumishi wa umma.... Soma zaidi

Imewekwa: 24th Apr 2025
Generic placeholder image
Utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Mto Kiwira Mbeya Washika Kasi

​Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya imepokea sehemu ya bomba ya utekelezaji wa mradi wa Maji toka chanzo cha mto Kiwira.... Soma zaidi

Imewekwa: 18th Apr 2025
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025

RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi

20th Mar 2025 Mlimani City Dar Es Salaam

Advertisements

Jarida Tando, Januari - Machi 2025, Toleo la 027

Bofya ku... Soma zaidi

Apr 13, 2025
National Water Policy 2002 Version 2025

Bofya ku... Soma zaidi

Mar 23, 2025
Water Utilities Performance Review 2023/24

bofya ku... Soma zaidi

Mar 19, 2025

Karibu

Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi

Vyanzo vya Maji Tanzania

Waliotembelea Tovuti