Wizara
Hotuba Za Bajeti
Nifanyaje?
Maoni juu ya tovuti
Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi
Waziri Aweso Atoa Agizo Kali Kudhibiti Maji Yasiyolipiwa
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha wanadhibiti maji yasiyolipiwa (NRW) katika maeneo wanayotoa huduma.... Soma zaidi
Wizara ya Maji Kuwajengea Uwezo Wataalam Kuhusu Usalama wa Mabwawa
Wizara ya Maji kwa kushirikiana na taasisi binafsi imeandaa mafunzo kuhusu usalama wa mabwawa Ili kuhakikisha mabwawa yanaendelea kuwa salama kwa matumizi yaliyokusudiwa hapa nchini.... Soma zaidi
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi
Advertisements
Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji kwa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira mwaka 2024/2025
Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji kwa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira mwaka 2024/2025 Bofya Soma zaidi
Taarifa kuhusu mikutano mitatu ya sekta ya maji iliyofanyika Dodoma.
TAARIF... Soma zaidi
Karibu
Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi

