Maoni juu ya tovuti

84.38%
5.04%
10.59%
39.29%
23.08%
37.64%
38.86%
25.66%
35.48%
Generic placeholder image
Aweso Acha Neema Kivule, Azindua Utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Sh. Bilioni 2.7

​Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), ameacha neema kwa wakazi wa Kivule baada ya kuzindua rasmi utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Kivule wenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 2.7.... Soma zaidi

Imewekwa: 02nd Dec 2025
Generic placeholder image
Waziri wa Maji Afanya Ziara ya Nyumba kwa Nyumba Kufuatilia Huduma ya Maji Kinyerezi

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), ametembea nyumba kwa nyumba ili kujua hali halisi ya upatikanaji wa huduma ya maji katika Kata ya Kinyerezi, wilayani Ilala, Jiji la Dar es Salaam.... Soma zaidi

Imewekwa: 02nd Dec 2025
Generic placeholder image
​Wahitimu wa Chuo cha Maji Wapate Nafasi Kwenye Sekta ya Maji – Aweso

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amezitaka taasisi za Sekta ya Maji kuwapa nafasi vijana ambao ni wahitimu wa fani mbalimbali katika Chuo cha Maji kuonyesha ujuzi wao.... Soma zaidi

Imewekwa: 28th Nov 2025
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025

RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi

20th Mar 2025 Mlimani City Dar Es Salaam

Advertisements

Maji na Safari ya Mapinduzi katika Huduma

Soma zaidi

Oct 21, 2025
Jarida Tando: Julai - Septemba 2025

Soma zaidi

Oct 14, 2025
Stakeholders Engagement Plan for Sustainable Rural Water Supply and Sanitation Program

Stakeholders Engagement Plan for RWSSP2 click Soma zaidi

Sep 09, 2025

Karibu

Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi

Vyanzo vya Maji Tanzania

Waliotembelea Tovuti