Maoni juu ya tovuti

83.47%
5.35%
11.19%
38.91%
25.76%
35.33%
39.09%
24.50%
36.41%
Generic placeholder image
Mhandisi Mwajuma Waziri Ashinda Tuzo ya Malkia wa Nguvu

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma katika kilele cha utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu kwa Kanda ya Kati, zilizofanyika jijini Dodoma.... Soma zaidi

Imewekwa: 27th Apr 2026
Generic placeholder image
ZAMCOM Wakutana Tanzania

Maji ya kimataifa yanazidi kuthibitisha kuwa ni moja ya rasilimali muhimu zinazoleta umoja, ushirikiano na maendeleo kati ya nchi mbalimbali na wananchi wao.... Soma zaidi

Imewekwa: 27th Apr 2026
Generic placeholder image
Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi

Imewekwa: 20th Apr 2026
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025

RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi

20th Mar 2025 Mlimani City Dar Es Salaam

Advertisements

Je Wajua ?

Sheria Na. 5 ya Mwaka 2019 ya huduma za maji ma Usafi wa Mazingira Soma zaidi

Apr 22, 2026
Jarida Tando: Januari - Machi 2026

Bofya kusoma za... Soma zaidi

Apr 10, 2026
Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji kwa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira mwaka 2024/2025

Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji kwa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira mwaka 2024/2025 Bofya Soma zaidi

Mar 19, 2026

Karibu

Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi

Vyanzo vya Maji Tanzania

Waliotembelea Tovuti