Wizara
Hotuba Za Bajeti
Nifanyaje?
Maoni juu ya tovuti
Mhandisi Mwajuma Waziri Ashinda Tuzo ya Malkia wa Nguvu
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma katika kilele cha utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu kwa Kanda ya Kati, zilizofanyika jijini Dodoma.... Soma zaidi
ZAMCOM Wakutana Tanzania
Maji ya kimataifa yanazidi kuthibitisha kuwa ni moja ya rasilimali muhimu zinazoleta umoja, ushirikiano na maendeleo kati ya nchi mbalimbali na wananchi wao.... Soma zaidi
Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi
Advertisements
Je Wajua ?
Sheria Na. 5 ya Mwaka 2019 ya huduma za maji ma Usafi wa Mazingira Soma zaidi
Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji kwa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira mwaka 2024/2025
Muhtasari wa Taarifa ya Utendaji kwa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira mwaka 2024/2025 Bofya Soma zaidi
Karibu
Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi

